Vodacom yaibuka mshindi wa banda bora la Mawasiliano na Tehama kwenye maonesho ya sabasaba

Waziri wa Biashara na Viwanda Zanzibar Mhe. Balozi, Amina Salum Ali akimkabidhi Tuzo ya Banda bora la sekta ya Mawasiliano na Tehama kwenye maonesho ya 44 ya kimataifa  ya biashara (Sabasaba) Meneja wa mauzo wa Vodacom Tanzania PLC, kanda ya Temeke, Angetile Martin. Vodacom iliibuka mshindi wa kwanza katika kipengele hicho baada ya kuonesha vitu mbalimbali ikiwemo robot anayeitwa Pepper.
Meneja Ruzuku na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Foundation, Sandra Oswald (wa pili kushoto ) pamoja na Msaidizi wa Mipango Vodacom Tanzania Foundation, Kelvin Boya wakiwaelezea wateja kuhusu huduma ya Instant School  walipotembelea banda la Vodacom kwenye maonesho ya 44  ya biashara ya kimataifa ya sabasaba





Baadhi ya wateja waliotembelea banda letu, wakizungumza na robot aitwaye Pepper kuhusu huduma mbalimbali zinazotolewa na kampuni yetu wakati wa maonesho ya sabasaba.

Baadhi ya wateja waliotembelea banda letu, wakizungumza na robot aitwaye Pepper kuhusu huduma mbalimbali zinazotolewa na kampuni yetu wakati wa maonesho ya sabasaba.

Baadhi ya wateja waliotembelea banda letu, wakizungumza na robot aitwaye Pepper kuhusu huduma mbalimbali zinazotolewa na kampuni yetu wakati wa maonesho ya sabasaba.

Baadhi ya wateja waliotembelea banda letu, wakizungumza na robot aitwaye Pepper kuhusu huduma mbalimbali zinazotolewa na kampuni yetu wakati wa maonesho ya sabasaba.

Baadhi ya wateja waliotembelea banda letu, wakizungumza na robot aitwaye Pepper kuhusu huduma mbalimbali zinazotolewa na kampuni yetu wakati wa maonesho ya sabasaba.

No comments

anonymous