Rais Magufuli amteua Prof. Luoga


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli, amemteua Profesa Florens Luoga kuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, baada ya aliyepo sasa, Gavana Benno Ndulu kumaliza muda wake, miezi michache baadaye.

Rais Magufuli ameyasema hayo leo wakati akiunuku vyeti kwa kamati zilizofanya uchunguzi wa kiwango, aina na thamani ya madini katika makinikia, ikulu jijini Dar es Salaam.

kabla ya uteuzi huo, Luoga ambaye kitaaluma ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, alikuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na uteuzi wake utaanza baada ya Benno Ndulu kumaliza muda wake.


John Pombe Joseph Magufuli (born 29 October 1959) is the President of Tanzania, in office since 2015.

First elected as a Member of Parliament in 1995, he served in the Cabinet of Tanzania as Deputy Minister of Works from 1995 to 2000, Minister of Works from 2000 to 2006, Minister of Lands and Human Settlement from 2006 to 2008, Minister of Livestock and Fisheries from 2008 to 2010, and as Minister of Works for a second time from 2010 to 2015.

Running as the candidate of the ruling CCM, he won the October 2015 presidential election and was sworn in on 5 November 2015.

No comments

anonymous