Muigizaji Lulu kutumikia Kifungo cha miaka miwili Jela kesi ya mauaji ya Kanumba
Mahakama kuu Dar es salaam ,imemhukumu muigizaji wa filamu, Elizabeth Michael maarufu kama Lulu kifungo cha miaka 2 jela baada ya kumtia hatiani kwa kuua bila kukusudia.
Msanii Elizabeth alituhumiwa kumuua msaani marehemu Steven Kanumba mwaka 2012 ambaye inaaminika alikuwa na uhusiano ya kimapenzi naye.
Msanii Elizabeth alituhumiwa kumuua msaani marehemu Steven Kanumba mwaka 2012 ambaye inaaminika alikuwa na uhusiano ya kimapenzi naye.
Post a Comment