Mapesa ahaidi kuja kivingine |HZB TV

Mapesa ni msanii chipukizi kutokea Tanzania, aliwahi kufanya kazi na Galatone "Tuwe Sare" ambayo ilifanya vizuri katika vituo vya radio na TV inchini, kwa sasa ameleta kazi nyingine inaitwa "Mamy" msikilize hapa akiongea na HZB TV kuzungumzia kazi yake mpya pamoja na mipango yake kimuziki.


Bongo flava is the nickname for Tanzanian hip hop music. The genre developed in the 1990s, mainly as a derivative of American hip hop, with additional influences from reggae, R&B, afrobeat, dancehall, and traditional Tanzanian styles such as taarab and dansi, a combination that forms a unique style of music. Lyrics are usually in Swahili or English.

The name "bongo flava" is a corruption of "bongo flavour", where "bongo" is the plural form of the Swahili word ubongo, meaning "brain", and is a common nickname used to refer to Dar es Salaam, the city where the genre originated. In the bongo flava, the metaphor of "brains" may additionally refer to the cunning and street smarts of the mselah

No comments

anonymous