Kisi ya Mauaji ya Lulu, Kilichokutwa kwnye Ubongo wa Marehem Kanumba

KESI inayomkabili muigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’, imeendelea kusikilizwa leo Jumatatu, Oktoba 23, katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam ambapo shahidi wa nne upande wa Jamhuri anatoa ushahidi wake.

Katika ushahidi huo imeelezwa na Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Binadamu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dtk. Innosent Mosha ambaye ni shahidi wa nne wa kesi hiyo, aliletewa oda kutoka Jeshi la Polisi kwamba aufanyie uchunguzi mwili wa Steven Kanumba uliokuwa mochwari akishirikiana na daktari mwingine.

“Tulifungua ubongo wa Kanumba na kuukuta umevimba, mishipa midogomidogo ya ubongo ilikuwa imeingia damu, lakini kabla ya kufungua ubongo, kwenye kisogo kulikuwa na mgando wa damu.
“Baada ya kumaliza uchunguzi wetu tulipeleka sampuli kwa Mkemia Mkuu wa Serikali ambapo tulipeleka pia sampuli mbalimbali za viungo vya mwili wake,” amefafanua Dkt. Mosha.
Ushahidi bado unaendelea kutolewa mahakamani.


Elizabeth Michael (Lulu) is a Tanzanian actress. In 2013, she won the Zanzibar International Film Festival award for Best Actress.[3] She also won 2016 Africa Magic Viewers Choice Awards for Best Movie Eastern Africa.
In August 2017, Africa Youth Awards named her among the 100 Most Influential Young Africans.

Lulu was born and raised in Dar Es Salaam, Tanzania. Her father is Michael Kimemeta, and her mother is Lucrecia Kalugira. She attended Remnant Academy for her primary education, and Perfect Vision High School, St Mary's High School for her secondary education. She then joined Tanzania Public Service College to pursue a diploma in Human Resource Management

No comments

anonymous