ALIKIBA AHAMIA SIMBA
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiGZ72vPU9CMIBhJRmDOKKFvLkLSZptP7RxVnDw6NQXA5WdNeGgqy7ELxEM3ESuoAhnnIkqewpT95eCXlgDjrHFpMyJl77d34pmI9WlShclK6Tm0680_08eZ0_o9UWkS5_z16Sw-hFaJVuH3JiWhfFKhENnus1e-mvImTJW8ovmbTa0pM_1Fda1kKL2beU/w640-h444/simbasctanzania_1691061219957.jpeg)
Club ya Simba imemtangaza rasmi Mwimbaji staa wa Bongofleva Alikiba kuhamia kwenye Club hiyo na kuthibitisha kuwa atakuwa Mtumbuizaji mkuu August 6 2023 siku ya Simba day itayofanyika kwenye Uwanja wa Mkapa Jijini Dar es salaam.
Rasmi Staa wa Muziki wa Tanzania na Afrika, Alikiba 'King Kiba' @officialalikiba amehamia kwetu na Simba Day Agosti 6 atakuwa mtumbuizaji mkuu katika Uwanja wa Benjamin Mkapa
Post a Comment